Tuesday 30 June 2015

MAANDALIZI YA MUHULA MPYA 2015
Malengo yetu bado yanasimama palepale kuwa ni kuhakikisha tunafanya vizuri kwa mitihani ya ndani pamoja na mitihani ya mwisho ya taifa kwa kidato cha nne,hivyo sisi kama Kikanda sekondari tumejiandaa vya kutosha ili kutoa elimu iliyo bora na inayokidhi mahitaji ya jamii yetu ya Kitanzania kutokana na mwongozo wa mtaala wetu.Kama isemavyo ratiba tunategemea kufungua shule tarehe 13/07/2015 hivyo tunaomba wazazi pamoja na walezi wa wanafunzi wa  Kikanda Sekondari kuhimiza vijana wao kuwahi shule ili wasipitwe na masomo ambayo yamepangwa kwa mujibu wa ratiba.

WAZAZI
8 Ways to Be Successful at School

1.  Have a Schedule

2.  Hang Out with Smart Friends

3.Challenge Yourself

4.  Be Open to Feedback

5.  Ask When You Don't Understand

6.  Look Out for Number One

7.  Keep Yourself in Top Shape

8.  Have a Goal and a Plan
Tricks and Tips