Friday 24 July 2015

SHEREHE ZA KUKABIDHI ZAWADI KWA WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI 2015



Katika hali ya kuongeza hamasa ya usomaji na kufanya vizuri kwa wanafunzi katika masomo yao,Kikanda sekondari imeanza kutoa zawadi kwa wanafunzi wanaofanya vizuri katika mihula ya mwaka hii ni pamoja na kutoa zawadi kwa wanafunzi wa kidato cha nne mwaka jana waliofanya vizuri,lengo ni kuboresha elimu na kuongeza hamasa kwa wanafunzi.
Hivyo tunawaletea tukio zima kwa ufupi juu ya utoaji tuzo hizo ambazo mwenyekiti wake na ambaye pia ni mkuu wa shule alikabidhi zawadi hizo kwa wanafunzi hao


2.4,  Mkuu wa shule akimkabidhi mwanafunzi  Haji Magina zawadi baada ya kufanya vizuri katika mitihani ya taifa kidato cha nne 2014 huku makamu mkuu wa shule akifuatilia kwa karibu tukio hilo

MAABARA


Jengo la maabara shule ya Sekondari Kikanda ambalo linategemewa kumalizika hivi karibuni na kuanza kutumika mara moja mara baada ya vifaa vya kufanyia majaribio(practicals)kuwasiri.Jengo hili litawasaidia wanafunzi kusoma kwa vitendo katika masomo yao ya sayansi




Tricks and Tips