NEWS

Here you will find a very latest new that happened in this field no matter how does it far away but you will be the first one to know.

                                                                STEP REPORT 2016

OFISI YA RAIS –TAMISEMI
HALMASHAURI YA WILAYA KILWA
SHULE YA SEKONDARI KIKANDA
MREJESHO WA WARSHA YA BRN ILIYOFANYIKA MKOANI LINDI
19-23/12/2015:
YALIYOMO:-
1.   UTANGULIZI
2.   WASHIRIKI
3.   MADA ZILIZOWEZESHWA
4.   CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA
5.   CHANGAMOTO NA MAPENDEKEZO (HITIMISHO)

UTANGULIZI
Warsha hii iliandaliwa kwa lengo la kuwaandaa walimu wa masomo ya Kiswahili, kiingereza , Hisabati na Biologia kuwatambua na kuwasaidia wanafunzi wenye uwezo mdogo katika masomo tajwa na waweze kufanya vizuri katika mitihani  yao ya kidato cha pili na cha nne , kwa kutumia njia mbadala (elekezi) na muda wa ziada.
WASHIRIKI
Washiriki wa washa hii walikuwa kutoka wilaya tatu nazo ni: - KILWA DISTRICT COUNCIL, LINDI DC na LINDI MUNICIPAL
Waliohudhuria kutoka shule ya kikanda ni kama ifuatavyo:-
Na
Jina la mwalimu
somo
Namba ya simu
1
Ally Ramadhani Mtawazi
Hisabati
0788522590
2
Lydia Lyanga Samweli
Biologia
0784918411

Washiriki ambao hawakuhudhuria
Na
Jina la mwalimu
somo
Namba ya simu
1
Zaina Ramadhani
kiingereza
0652731467
2
Fadhila Optat
kiswahili
0684242536


MADA ZILIZOWEZESHWA KATIKA WARSHA
NA
SOMO
MADA ZILIZOWEZESHWA
1
HISABATI
·         STATISTICS
·         LINEAR PROGRAMING
·         LOGARITHM,EXPONENTS AND RADICALS
·         MATRICES
2
BAOLOGIA
·         DISEASES
·         CLASSIFICATION OF ORGANISMS
·         NUTRITION
·         GENETICS
3
KISWAHILI
·         UFAHAMU NA UFUPISHO
·         UANDISHI WA INSHA
·         UCHAMBUZI WA MASHAIRI
4
KIINGEREZA
·         COMPREHENSION AND SUMMARY
·         WRITING COMPOSITION
·         RESPONSE TO READING


CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA
·         Utayari wa wanafunzi na wazazi katika utekelezaji wa darasa wezeshwa (enrichment class) shuleni. Mf; kurudia jioni na kazi za nyumbani.
·         Baadhi ya mada hazieleweki kwa walimu kutokana na kubadilika kwa mihutasari ya kufundishia mara kwa mara pasipo kushirikisha wadau wenyewe/walimu
Mfano: mada ya ACCOUNTS katika somo la hisabati kidato cha tatu.
·         Pia upungufu wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia mashuleni ni changamoto katika utekelezaji wa darasa wezeshwa.
Mfano: maabala, chumba cha jeografia, maktaba na vifaa vya hisabati
·         Kutokuwepo kwa motisha kwa walimu wanaondesha madarasa wezeshwa (enrichment classes)
·         Utoro uliokithiri kwa wanafunzi unakwamisha utekelezaji wa darasa wezeshwa, kwa maana muendelezo wa kile anachokisoma mwanafunzi hautapatikana na hivyo kushindwa kuunganisha maarifa.
·         Muda wa mafunzo ulikuwa mdogo pia.



MAPENDEKEZO
1.   Elimu ilitolewe kwa jamii nzima kuhusu darasa wezeshwa ili ilete ushirikiano katika utekelezaji wake.
2.   Shule ziboreshwe kwa kupatiwa nyenzo na vifaa muhimu vya kufundishia na kujifunzia
3.   Sheria dhidi ya wanafunzi watoro ifanye kazi yake bila kusita ili kuleta ufanisi na matokeo chanya.
4.   Walimu wanaowezesha madarasa haya wapewe motisha kwa ule muda wa ziada wanaoutumia kuwasaidia wanafunzi wenye matokeo mabaya ambao katika shule yetu ni wengi.

HITIMISHO
 Wasrsha hii imeleta hamasa na hali kwa walimu walihudhuria na kutoa ahadi ya kuwawezesha walimu wenzao ambao hawakuhudhuria na hii imeanza kufanyika hapa shuleni kwetu na athari zimeonekana katika matokeo ya kidato cha pili 2015, ambapo masomo kama historia, Kiswahili na kiingereza yameweza kufuta F kwa 99%.
Tunashashauri yafanyike mara kwa mara hata katika ngazi ya wilaya kwa kuwashirikisha walimu wa masomo yote.


Imeandaliwa na:-
1. Ally mtawazi         mwalimu wa Hisabati
2. Lydia Lyanga        mwalimu wa baologia

AYUBU MWAKATIKA

MKUU WA SHULE


OFISI YA RAIS –TAMISEMI
HALMASHAURI YA WILAYA KILWA
SHULE YA SEKONDARI KIKANDA
MREJESHO WA WARSHA YA BRN ILIYOFANYIKA MKOANI LINDI
19-23/12/2015:
YALIYOMO:-
1.   UTANGULIZI
2.   WASHIRIKI
3.   MADA ZILIZOWEZESHWA
4.   CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA
5.   CHANGAMOTO NA MAPENDEKEZO (HITIMISHO)

UTANGULIZI
Warsha hii iliandaliwa kwa lengo la kuwaandaa walimu wa masomo ya Kiswahili, kiingereza , Hisabati na Biologia kuwatambua na kuwasaidia wanafunzi wenye uwezo mdogo katika masomo tajwa na waweze kufanya vizuri katika mitihani  yao ya kidato cha pili na cha nne , kwa kutumia njia mbadala (elekezi) na muda wa ziada.
WASHIRIKI
Washiriki wa washa hii walikuwa kutoka wilaya tatu nazo ni: - KILWA DISTRICT COUNCIL, LINDI DC na LINDI MUNICIPAL
Waliohudhuria kutoka shule ya kikanda ni kama ifuatavyo:-
Na
Jina la mwalimu
somo
Namba ya simu
1
Ally Ramadhani Mtawazi
Hisabati
0788522590
2
Lydia Lyanga Samweli
Biologia
0784918411

Washiriki ambao hawakuhudhuria
Na
Jina la mwalimu
somo
Namba ya simu
1
Zaina Ramadhani
kiingereza
0652731467
2
Fadhila Optat
kiswahili
0684242536


MADA ZILIZOWEZESHWA KATIKA WARSHA
NA
SOMO
MADA ZILIZOWEZESHWA
1
HISABATI
·         STATISTICS
·         LINEAR PROGRAMING
·         LOGARITHM,EXPONENTS AND RADICALS
·         MATRICES
2
BAOLOGIA
·         DISEASES
·         CLASSIFICATION OF ORGANISMS
·         NUTRITION
·         GENETICS
3
KISWAHILI
·         UFAHAMU NA UFUPISHO
·         UANDISHI WA INSHA
·         UCHAMBUZI WA MASHAIRI
4
KIINGEREZA
·         COMPREHENSION AND SUMMARY
·         WRITING COMPOSITION
·         RESPONSE TO READING


CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA
·         Utayari wa wanafunzi na wazazi katika utekelezaji wa darasa wezeshwa (enrichment class) shuleni. Mf; kurudia jioni na kazi za nyumbani.
·         Baadhi ya mada hazieleweki kwa walimu kutokana na kubadilika kwa mihutasari ya kufundishia mara kwa mara pasipo kushirikisha wadau wenyewe/walimu
Mfano: mada ya ACCOUNTS katika somo la hisabati kidato cha tatu.
·         Pia upungufu wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia mashuleni ni changamoto katika utekelezaji wa darasa wezeshwa.
Mfano: maabala, chumba cha jeografia, maktaba na vifaa vya hisabati
·         Kutokuwepo kwa motisha kwa walimu wanaondesha madarasa wezeshwa (enrichment classes)
·         Utoro uliokithiri kwa wanafunzi unakwamisha utekelezaji wa darasa wezeshwa, kwa maana muendelezo wa kile anachokisoma mwanafunzi hautapatikana na hivyo kushindwa kuunganisha maarifa.
·         Muda wa mafunzo ulikuwa mdogo pia.



MAPENDEKEZO
1.   Elimu ilitolewe kwa jamii nzima kuhusu darasa wezeshwa ili ilete ushirikiano katika utekelezaji wake.
2.   Shule ziboreshwe kwa kupatiwa nyenzo na vifaa muhimu vya kufundishia na kujifunzia
3.   Sheria dhidi ya wanafunzi watoro ifanye kazi yake bila kusita ili kuleta ufanisi na matokeo chanya.
4.   Walimu wanaowezesha madarasa haya wapewe motisha kwa ule muda wa ziada wanaoutumia kuwasaidia wanafunzi wenye matokeo mabaya ambao katika shule yetu ni wengi.

HITIMISHO
 Wasrsha hii imeleta hamasa na hali kwa walimu walihudhuria na kutoa ahadi ya kuwawezesha walimu wenzao ambao hawakuhudhuria na hii imeanza kufanyika hapa shuleni kwetu na athari zimeonekana katika matokeo ya kidato cha pili 2015, ambapo masomo kama historia, Kiswahili na kiingereza yameweza kufuta F kwa 99%.
Tunashashauri yafanyike mara kwa mara hata katika ngazi ya wilaya kwa kuwashirikisha walimu wa masomo yote.


Imeandaliwa na:-
1. Ally mtawazi         mwalimu wa Hisabati
2. Lydia Lyanga        mwalimu wa baologia

AYUBU MWAKATIKA

MKUU WA SHULE

No comments :

Post a Comment

Tricks and Tips